Tamasha la Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Tamasha la Kimataifa la Sanaa la Qur'ani la Restu linatarajiwa kufanyika kuanzia Januari 20 hadi 29 huko Putrajaya, Malaysia, na waandaaji wametoa maelezo yake.
Habari ID: 3476383 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/10